Tuesday, September 10, 2013
Karibu katika kila hatua tuchukuazo,maneno tusemayo,kazi tufanyazo na mipango tuwekayo,huwa ni matokeo mazuri ya maamuzi fulani.Haya maamuzi bila kujali ni mazuri au mabaya,magumu au rahisi,huchukua nafasi kubwa ya muelekeo wa maisha yetu.Tafiti nyingi za kisaikolojia(psychology) zinaonyesha kuwa moja ya changamoto kubwa inayomsibu mwanadamu ni kuchua maamuzi sahihi, kwa muda sahihi na mahali sahihi.Kutoa mwanga zaidi juu ya kufikia maamuzi sahihi.Zifuatazo ni hatua saba(7) zinazopendekezwa na wasomi katika nyanja ya saikolojia(psychology)

1.Tambua tatizo au utata

2.Changanua tatizo/utata

3.Orodhesha njia kadhaa za kukabili tatizo


4.Kwa kila njia pima uzuri na ubaya wake


5.Baada ya kupima weka hisia zako katika njia bora zaidi

6.Fanya uamuzi

7.Mwisho tathimini uamuzi wako,kama ulikuwa sahihi..na hautosita kuchua siku nyingine.
 

0 comments:

Popular Posts