Saturday, December 8, 2012
Wakati mwili wa binadamu ni kama jumba ,akili huwa kama funguo ikusababishayo kufikia kila chumba cha maamuzi.Maamuzi hufikiwa baada ya kupitia milango ya fahamu.Na hivyo ili utende vyema ni lazima kufikiri vyema.Pia kufikiri vyema ni lazima  ujue chakula gani kitakacho kusaidia kuongeza uwezo wa akili.Na hivi ni vyakula kumi(10) viongezavyo uwezo wa akili
1.KAHAWA

2.MAYAI


3.SAMAKI

4.KABICHI
 
5.NDIZI

6.CHOKOLETI

7. MBEGU JAMII YA KOROSHO


8.''APPLE''

9."BLACKBERRY"



10.SPINACHI 


0 comments:

Popular Posts