Saturday, September 21, 2013
Baada ya kuona sababu kuu nne(4)za usahaurifu katika kujisomea.Hapa tutatazama njia mbadala za kuepuka tatizo la usahaurifu.Lakini mbali na kuzungumzia njia hizi mbadala.Inampasa msomaji kujenga kumbukumbu wakati wa kusoma. Kwa kuachana na sababu zipelekeazo usahaurifu,na kuanza kusoma vitu vichache,kuweka umakini wa kutosha,kuelewa anachosoma na kuwa katika hali njema ya afya.Na hizi zifuatazo ni njia mbadala sita(6) za kuepuka usahaurifu.

1.Zingatia mlo bora kwa afya

2.Fanya mazoezi ya mwili

3.Pata masaa takribani 8 usinziapo

4.Weka kanuni binafsi zitakazo kukumbusha


5.kazia kumbukumbu  kwa kufundisha wenzako

6. Zingatia,tunza na tumia vyema muda

0 comments:

Popular Posts