Monday, September 16, 2013

Usahaurifu katika usomaji ni hali ya ubongo kushindwa kurejea,kukumbuka au kuwaza baadhi ya vitu vilivyosomwa muda uliopita.Hivi vitu ni pamoja na maada mbalimbali(topics),  masomo na majibu ya maswali kadhaa ambayo huwa ni muhimu katika kusoma. Bila kuzingatia mtu alisoma kwa muda gani,mfupi au mrefu ,masaa mengi au machache,usahaurifu umekuwa kikwazo kwa watu wengi sana hasa wanafunzi,hata kupelekea kutofanya vyema katika mitihani  na masomo yao kwa ujumla.Uchunguzi  wa hivi karibuni unaonyesha kuna sababu nyingi zipelekeazo mtu mmoja kusahau.Katika kurasa hii tutangalia sababu hizi katika makundi makuu manee(4).

1.Usomaji wa vitu vingi bila mpangilio na ratiba maalum

2.Kutoweka umakini wa kutosha katika kile kinachosomwa
 
3.  Mwanafunzi kutoelewa anachokisoma


 
4. Hali ya kiafya kama mawazo,msongo ,magonjwa n.k


0 comments:

Popular Posts