Tuesday, July 15, 2014
Kombe la dunia(2014) ilikua ni michuano ya kabumbu,ambayo ilianza tar 12 mwezi june na kuisha 13 july, huku  ilikonga mioyo ya wanamichezo na mashabiki wengi wa kandanda.Mashindano hayo hayakuisha yakigusa hisia za wadau wake tu, bali hata wasio sehemu ya michezo hiyo ,walivutiwa.Vituo kadhaa vya redio hapa nchini vimeripoti matukio mengi yalioambatana na kombe la dunia.Ikiwemo kuongezeka kwa kipato na ajira za misimu na za kudumu hasa katika televisheni,TV cable,Ving'amuzi na mabanda ya kuonyesha mpira.Sifa hizo za kombe la dunia ni njema kwa upande mmoja ,na mwiba  kwa sehemu ya pili.Huu upande  ni pale michuano hiyo ilipopelekea  kuhatarisha ndoa za watu, kuiba muda mwingi wa wanafunzi, kuvunja ratiba za kazi hasa kwa watumishi wa  usiku.Ikumbukwe kuwa kila baada ya miaka minne kombe la dunia huandaliwa, na huenda pande za faida na hasara zikatatokea tena  . Lakini mbali na yote ni mhimu mtu mmoja mmoja akajipangia utaratibu wa kuburudika na tukio hili la kihisoria huku asiwe muathirika mkubwa wa changamoto  zake. Na kitu cha mwisho ni swali,je umewahi kutambua mchango wa majina haya ;Ricky Martin,Shakira , KnaanPitbull, Jenifer Lopez,Claudia Leitte, ? Haya  ni majina ya nyota na wanamuziki walioshika ngao ya burudani kwa nyimbo zao moto moto  katika makombe yaliopata kutokea.Nyimbo hizo zilizotenda haki ya burudani ni kama La Copa de la Vida (The Cup of Life 1998),"Hips Don't Lie (Bamboo mix 2006),''Waka waka(its time for Africa 2010)'', Waving flag 2010,"We Are One (Ole Ola 2014)","La La La (Brasil 2014)"  .Miongoni mwa vibao hivyo, leo ni  viashiria  na  nembo   za vipindi   katika vituo vya redio na televisheni nyingi hapa nchini. Kutambua mchango zaidi wa hayo majina tazama nyimbo  zifuatazo. 

2.

3.

4

5.

6.

7.

8.

9.


1 comment:

  1. PRIDE, THE GENESIS OF SIN BY STEVE FINNELL

    Pride is an inordinate opinion of one's own dignity, importance, merit or superiority.

    Satan fell because of pride. That was the genesis of sin.

    Ezekiel 28:11-17....."Your heart was lifted up because of your beauty; You corrupted your wisdom for the sake of your splendor; I cast you to the ground, I laid you before kings, That they may gaze at you.
    Isaiah 14:12-14 "How you are fallen from heaven, O Lucifer, son of the morning! How you are cut down to the ground, You who weakened the nations! 13 For you have said in your heart: "I will ascend into heaven, I will exalt my throne above the stars of God; I will also sit on the mount of the congregation On the farthest sides of the north; 14 I will ascend above the heights of the clouds, I will be like the Most High."

    Satan had a pride problem. He thought he was as smart as God. Satan believed he could be a God and equal to God. Satan had a pride problem.

    DO SOME BELIEVERS IN CHRIST HAVE A PRIDE PROBLEM?

    1 Timothy 3:1-6....6 not a novice, lest being puffed up with pride he fall into the same condemnation as the devil.

    Even leaders in the church can become victims of pride.

    When men deny obvious Biblical facts, is that not pride rearing its ugly head?

    When men deny that Jesus said "He who believes and is baptized will be saved.... (Mark 16:16), is it not pride that prevents men from admitting they have been wrong in declaring that water baptism is not essential for salvation? Are men smarter than Jesus? How much pride does a man have to have to deny the clear teachings of the Scriptures.


    When men are confronted with God's truth and still deny it, what but pride is the cause?

    PRIDE

    Proverbs 16:18 Pride goes before destruction, And a haughty spirit before a fall.

    Proverbs 11:2 When pride comes, then comes shame; But with the humble is wisdom.

    Proverbs 29:23 A man's pride will bring him low, But the humble in spirit will retain honor.

    Pride causes men to believe their own opinions and the opinions of other men at the expense of the clear teaching of God, which is found in the Bible and the Bible alone.

    Pride forms man's opinions based on his own thoughts.

    Pride is evident when men believe their creed books and reject the teaching of Scripture.

    Pride can be destroyed if men will prayerfully search the Scriptures asking God to reveal His truth.

    LOOKING FOR CONFORMATION OF YOUR OWN THOUGHTS AND, OR THE CREEDS WRITTEN BY MEN, IS EVIDENCE OF PRIDE.

    WHAT DOES BIBLE STUDY WITHOUT PRAYER PRODUCE? NOT MUCH.

    YOU ARE INVITED TO FOLLOW MY BLOG. http//:steve-finnell.blogspot.com

    ReplyDelete

Popular Posts