Wednesday, May 15, 2013
Ni baada ya chuo cha Stemmuco kufuatiwa na mfululizo wa matukio makubwa ya kimichezo,kama yale ya THE BIG SCORE ,INTER YEAR(CLASS)COMPETITION na mengine mengi,juma pili hii ya tarehe 11 mei 2013 inapambwa na tukio kubwa zaidi katika historia ya michezo Mtwara.Hili ni tukio pekee linalobeba uhusishaji wa vyuo na taasisi zaidi ya sita.Bandari,Utumishi,TCC,STEMMUCO,Jeshi nk.Tukio hili  limepewa jina maarufu kama  PRO LIFE.Katika fainali za Pro life Stemmuco na Utumishi wanafanikiwa kumenyana katika viwanja maarufu vya Mtwara,Nangwanda Stadium .Mpaka kipenga cha mwisho katika dakika ya 90 Utumishi wanaibuka kidedea zidi ya mahasimu wao  kwa gori 2-1.Na hizi ni picha  kumi na nne(14)za matukio mbalimbali yaliopata kujili katika viwanja hivyo.
1.
2.
3.
4.
Muamuzi akimzawadia kadi ya njano moja ya wachezaji kutoka Utumishi





5.
Hapa ni mashabiki  wa Stemmuco wakishangilia kwa shamlashamla zote na vuvuzela

6.

7.
Benchi la mashabiki timu ya  Utumishi

8.

9.

10.
 
moja ya wachezaji wa Utmishi akitoka njee ya uwanja baada ya maumivu ya mguu

11.

12.
Mashabiki wa Stemmuco kwa sauti na nguvu zote hawakuchoka kushangilia
13.
Utumishi pia hawakukaa kimya hata sekunde moja
14.
Dr Msafiri, mlezi na mwanzilishi wa mashindano haya akiwa pamoja na watangazaji



Popular Posts