Monday, April 1, 2013


Wakati kosa ni moja yakifika mawili ni makosato.Hivyo kitendo cha kutotenda au kutofanya jambo kwa usahihi huku ukienda kinyume na utaratibu unaoendesha jambo hilo,kitazalisha dhana iitwayo kosa.Upande wa pili wa kosa huleta dhana nyingine iitwayo adhabu.Adhabu ni hatua ya kumwajibisha mtu kwa dhumuni la kujirudi na kufuata utaratibu unaoendesha jambo fulani alilokeuka mwanzo.Zifuatazo ni picha tisa(9) zikionyesha makosa na adhabu katika mashule
1.KOSA:Kulewa


2.KOSA:Kutazamia



3.KOSA:Kutazamia

4.KOSA:Kutazamia

5.ADHABU

6.ADHABU

7.ADHABU

8.ADHABU


 9.ADHABU




Popular Posts