Sunday, July 28, 2013
Kama gari linavyohitaji magurudumu na vitu muhimu katika kusafiri, harikadharika elimu inapaswa kuwa na kila kitu muhimu kumudu  madhumuni ya kutoa uelewa kwa jamii.Mbali na sera ya elimu,walimu na mtaala.Elimu hukosa vitu vya msingi kwa maana ya kujenga nguzo imara na thabiti yenye kutoa mwanya wa mafunzo bora. Uhakika wa mafunzo bora unategemea pia,uwepo wa madarasa,mbao za kuandikia ,viti na miundombinu nyingine.Miundombinu ni kitu cha msingi ,ni moja ya daraja kubwa liletalo matokeo mazuri ya ufaulu .Ni bayana ya ngome kuu inayolinda na kuwezesha maarifa na elimu ya mtoto.Kama miundombinu ikiboreshwa hasa katika shule za misingi(primary schools),ni wazi kuwa kutakuwa na mapinduzi makubwa hata ngazi ya sekondari na vyuo. .Zifuatazo ni picha 10 zikionyesha matatizo yatokanayo na ukosefu wa miundombinu bora katika shule za misingi
1.

2.

3.

4.

5.

6.

7.

8.

9.
 
10.

 

0 comments:

Popular Posts