Monday, September 16, 2013
Kama ilivyo kwa maeneo mengine ya dunia,mikoa ya Tanzania hufanana na kutofautiana.Usawa na tofauti huchangiwa na hali ya hewa,ardhi,sura ya nchi,tamaduni na shughuri zinazofanyika katika mikoa husika.Shughuri hizi ni kilimo,uvuvi.biashara.usafirishaji,utalii,uchimbaji madini n.k.Zifuatazo ni picha za mikoa kumi (10)ya Tanzania

1.MTWARA

2.RUVUMA

3.MBEYA

4.IRINGA

5.MOROGORO

6.TANGA

7.KAGERA

8.ARUSHA

9.MWANZA

10.DAR ES SALAAM
  .

0 comments:

Popular Posts