Sunday, January 1, 2017
     Mwaka mpya n kitu kizuri kutokea,hatuna budi kusherekea.Ila lazima tujue tunasherekea nini?.Taasisi za dini zinatufundisha kushukuru kwa kila jambo,ni sawa.Ila tushukuru tukisherekea kwa kiasi.By the way kuna sababu nyingi za kusherekea.Ikiwemo kuwa mzima,kutimiza malengo n.k.Hapa sitaongelea kwa kina habari ya sherehe na kusherekea .Nipo kwa ajili ya kushare mawazo ya watu wengine juu ya mwaka mpya.Na hapa chini wanasema

1.     Mwaka mpya ni kama kitabu cha kurasa tupu kinachosubiri kuandikwa.Tunaweza kukiandika kwa kuanza leo kujiwekea malengo.
Image result for book with empty pages
2.     Mwaka huu maombi yako yasikike  ndoto zote zitimie,jasho lote lizae .
Image result for christian muslim prayer
3.     Mwaka huu jiamini tena na upate kila unachostahili
Related image
4.     Ingawa hakuna anayeweza kurudi nyuma atengeneze mwanzo mzuri,sote tuna nafasi ya kuanza sasa na kufanya mwisho mzuri.

5.     Mwanzo wa mwaka ni mwanzo wa kufanya kila unachokusudia.

6.     Mwanzo wa mwaka ni kama karatasi nzuri isiyo na kitu.inayosubiri wewe kuiambia dunia hadithi yako
Image result for empty page
7.     Tukubali,tukatae mwaka mpya utaleta changamoto mpya,lakini tupende ,tusipende utakuja na fursa nyingi pia.
Image result for opportunity
8.     Ishi chini ya mwenye ndoto na mtendaji,anayeamini na kutafakari, lakini zaidi ya yote ishi na yule anayeona uweza ndani yako hata kama wewe  hujioni.
Image result for best company to hang with

9.     Haimanishi unatoka wapi cha msingi ni unaelekea wapi
1o.     .Kunywa kiasi,pangilia,tafta marafiki,punguza unene,kuwa chanya na tumia pesa kwa uangalifu.
Image result for no drinking

0 comments:

Popular Posts