Wednesday, December 21, 2016
Toka ulimwengu ugeuke kijiji.Habari husambaa haraka kuliko  moto wa petrol.Hauhitaji nguvu kufuatilia mitindo,teknolojia,siasa na michezo. Siku izi kila mmoja ni model,IT,photographer ,kiongozi,na mchambuzi.Kwa sababu taarifa  zinapatikana kila mahali.Kuanzia facebook ,Whats apps.Instagram na kwingineko.Ukaribu wa dunia na mitandao ya kijamii ni chachu ya uelevu..Utitiri wa vyanzo vya habari kupitia simu za mikononi  laptop na tablets zilizounganishwa na internet ni shina la  wasomi na kundi  la waelevu  tulionao.Kuendena na kasi ya mabadiliko yanayotokea ughaibuni kote inategemea unamiliki kifaa gani? Ukinunua tecno,huwawei,Samsung,iphone au ipad yenye 3G hakika wewe umeukata.Kwani internet ni mama wa habari ,aliyezaa mitandao ya kijamii .Inayokupatia kile unachotaka .Familia hii inakuwa kila siku kwa maana kunazaliwa mitandao mipya na followers wapya. Je unajua list ya social networks bora 2016?.
1.Facebook
Image result for facebook

2.Youtube
Image result for youtube

3.Reddit
Image result for reddit

4.Tweeter
Image result for twitter

5.Pinterest
Image result for pinterest

6.Instagram













7.Tumblr
Image result for tumblr logo
8.Linked In
Image result for linkedin

9.Yahoo Answers
Image result for yahoo answers
10.Yelp
Image result for yelp

0 comments:

Popular Posts