Thursday, June 2, 2016
''Asiyesoma kitabu kizuri hana tofauti na asiyesoma kabisa''maneno ya Mark Twain.Usomaji kwa jamii nyingi unatazamwa kama adhabu.Ukizingatia wengi tulifundishwa kusoma kwa mabavu.Kushindwa kutamka sentensi moja kwa usahihi ilikulazimu kuchapwa na mwalimu.Ukikosea neno jingine unakufokewa na mzazi,kaka,dada .Inatafsiri kuwa  nje na sababu nyingine zinazofanya tuchukie vitabu,kichapo tulichopewa bado  kinarejesha mawazo  ya adhabu tuliopata enzi za shule na nyumbani. Hali inayotuweka kando na maandishi ya vitabuni.Ukipata muda chonga bongo yako kwa vitabu hivi

1.lONG WALK  TO FREEEDOM-NELSON MANDELA

2.RICH DAD POOR DAD-ROBERT KIYOSAKI

3.FAMOUS PEOPLE 'SFAMOUS SPEECH

4.HOW TO MOVE FROM POVERT TO SUCCESS-SHIGONGO JAMES

5.THINK BIG -BEN CARSON

6.UJAMAA-JULIUS NYERERE

7.DUNIA UWANJA WA FUJO-KEZILAHABI

8.JULIUS NYERERE AHSANTEH SANA-ROBERT MGABE


0 comments:

Popular Posts