Monday, June 16, 2014
Kwa muda sasa radio, magazeti, tv , na mitandao imekuwa ni milango mikubwa  inayofungua njia kwa  tasinia  ya michezo kupenyeza  hadi  kufikia wasikilizaji na watazamaji wengi  .Hali  inayosababishwa  na upepo  wa michezo unaovumishwa na wadau wa sekta hiyo. Wachezaji, wawekezaji na wadau wengine  wa kandanda, kikapu, gofu, tenesi , mpira wa pete n.k, kwa asilimia zaidi ya 70 wameweza kufanya michezo ikawa moja ya kivutio kikubwa cha wageni halikadharika wenyeji katika nchi mbalimbali .Huku Siri ya kuwa kivutio cha aina hiyo ikibakia kuwa ni miundombinu bora na ya kisasa.Kwa kutazama kandanda, ambao ni mchezo unaoongoza kwa kupendwa na mashabiki wengi duniani, muundo wa viwanja vyake lazima ukufurahishe.Hasa ukiangalia   michuano mikubwa ya mpira wa miguu  kama vile   kombe la dunia ,ligi kuu za mabara  na mashindano mengi maarufu ya mchezo huo . Hivyo kitabu kwanza  Blogspot ikapata muda wa kuandaa picha zinazoelezea hali halisi ya viwanja kadhaa nchini Tanzania. Huku swali la kujiuliza likiwa ni, je iwapo tutakuwa waandaji wa kombe la dunia, viwanja vyetu vinaweza kukidhi hadhi na viwango vinavyohitajika?.Tazama picha za viwanja vitano vya Tanzania
Kiwanja cha ccm kirumba,mwanza kwa juu
.
Uwanja wa kirumba kwa pembeni
ndani ya uwanja wa kirumba

Kiwanja cha Maji maji Songea kwa juu

Maji maji Songea
uwanja wa maji maji kwa pembeni
Ndani ya uwanja wamajimaji, songea

Ndani ya uwanja wa maji maji songea


Uwanja wa Nangwanda Mtwara kwa juu

Uwanja wa Nyamagana, Mwanza

Uwanja mpya Dar es salaam kwa juu

Uwanja mpya na wa zamani ,Dar es salaam kwa juu
uwanja mpya kwa pembeni
uwanja mpya kwa pembeni








Ndani ya uwanja mpya  wa Dar es salaam




0 comments:

Popular Posts