Tuesday, May 20, 2014
Mashindano yanayohusisha vyuo vingi vya hapa Mtwara, maarufu kama pro life, yalifikia kilele hapo jana jumapili ya tarehe 18 april,2014.Huku mshindi wa mpira wa pete akiwa ni mwenyeji wa mashindano hayo,chuo cha Sauti Mtwara(stemmuco),akifatiwa na mshindi wa mpira wa kikapu ambaye ni Bandari .Hatimaye kinara katika mchezo wa mpira wa miguu ama kandanda uliokuwa na vuta nikuvute  nyingi, hadi kufikia matuta, mshindi aliibuka tena timu ya Bandari.Hii ni sehemu ya matukio mbalimbali yaliyojili uwanjani hapo Nangwanda.





























0 comments:

Popular Posts