Tuesday, December 4, 2012
Kama isivyokuwa rahisi kumuelewa kiundani mwalimu mmoja, ndivyo ilivyo hata kwa njia fulani za kujifunza.Kushindwa kuelewa kwa njia ya kujifunza kama kuona na kusikiliza haijarishi ndio mwisho wa kujifunza.Kuna aina ya tatu ambayo ni kujifunza kwa vitendo(kutenda),hii ina aina saba kama zifuatazo
1.KUANDIKA  NOTISI KUTOKA KWA MWALIMU
 
2.KUANDIKA NOTISI KUTOKA KWENYE VITABU

3.KUTAFUTA NOTISI KUTOKA KWENYE MTANDAO
 
 4.UFANYAJI  WA KAZI NA MAJARIBIO MAABARA


 
5.KUFANYA MAZOEZI YA DARASANI

6KUCHUKUA KAZI ZA KUFANYIA NYUMBANI (Home work)
 
7.KUFANYA NGONJERA NAMAIGIZO  SHULENI


 

0 comments:

Popular Posts