Waliotembelea

Tafuta

Labels

Friday, November 30, 2012
Hatuna budi kukubali kuwa maarifa hupokewa kwa njia tofauti ikiwemo ile ya kusikia,na baadhi ya tafiti zimeonyesha idadi kubwa ya wanafunzi huelewa sana kwa njia ya kusikia, zaidi ya kuona au kutenda.Tafiti ya kitabu cha"making your self success in college"kinabainisha aina tano(5) za kujifunza kwa kusikia kama ifuatavyo
1.KUSIKILIZA MWALIMU KWA MAKINI

2.KUSOMA KWA SAUTI DARASANI

3.KUSIKILLIZA KASETI,TEPU NA SANTURI ZENYE KUREKODIWA


4.KUJUMUIKA NA VIKUNDI VYA MAJADIRIANO

5.KUJISOMEA KWA SAUTI 
    

0 comments:

Popular Posts