Friday, January 3, 2014
Huku mwaka 2013 ukiwa unamalizika,tunapokea mwaka 2014, tukiwa na matukio makubwa yalioweza kupata umaruufu, na yasiyoweza kusahaulika kirahisi.Mambo haya yakusitaajabu ni bayana  tu ya mengi yaliochukua sura ya kisiasa, kidini, elimu, uchumi ,kijamii, sanaa, michezo , teknolojia na kuleta matokeo chanya au  hasi katika taifa letu. Hivyo yafuatayo ni baadhi ya matukio hayo makubwa yaliopata kujiri mwaka 2013 Tanzania.
1.Uijio wa Rais wa Marekani,Baraka Obama.


2.Kampeni ya Serikali,matokeo makubwa sasa(The big Result Now).

3.Kutetereka kwa uhusiano wa jumuiya ya Afrika    Mashariki(EAC).

4.Oparesheni tokomeza ujangiri.


5.Maandamano nchini, Gas Mtwara.



6.Taifa kupotelewa na wasanii mbalimbali.


7.Vitendo vya kigaidi,bomu la Arusha.

8.Mgomo wa wafanyabiashara zidi ya Mashine za TRA.

9.Uijio mzuri wa timu ya kandanda, Mbeya City.

10.Kuzimwa kwa mitambo ya analojia na kuhamia Digitali.

0 comments:

Popular Posts