Waliotembelea
Tafuta
Labels
- afya (10)
- akili (1)
- filamu (4)
- filamu.video (1)
- kipaji (6)
- kompyuta (2)
- kujifunza (17)
- kuona (1)
- maneno (6)
- matokeo (1)
- mazoezi (2)
- mbinu (1)
- michezo (5)
- mitandao ya kijamii (1)
- mwaka (1)
- mziki (1)
- ndoto (2)
- njia (1)
- nukuu (6)
- picha (12)
- picture (10)
- sikiliza (1)
- social ntworks (1)
- tafiti (5)
- teknolojia (5)
- tukio (7)
- usahaulifu (1)
- usingizi (1)
- video (4)
- wasanii (4)
Wednesday, December 21, 2016
Toka ulimwengu ugeuke kijiji.Habari husambaa haraka
kuliko moto wa petrol.Hauhitaji nguvu
kufuatilia mitindo,teknolojia,siasa na michezo. Siku izi kila mmoja ni
model,IT,photographer ,kiongozi,na mchambuzi.Kwa sababu taarifa zinapatikana kila mahali.Kuanzia facebook
,Whats apps.Instagram na kwingineko.Ukaribu wa dunia na mitandao ya kijamii ni chachu ya uelevu..Utitiri wa vyanzo vya habari kupitia simu za mikononi laptop na tablets zilizounganishwa na internet ni shina la wasomi na kundi la waelevu tulionao.Kuendena na kasi ya mabadiliko yanayotokea ughaibuni kote inategemea unamiliki kifaa gani? Ukinunua tecno,huwawei,Samsung,iphone au ipad yenye 3G hakika wewe umeukata.Kwani internet ni mama wa habari ,aliyezaa mitandao ya kijamii .Inayokupatia kile unachotaka .Familia hii inakuwa kila siku kwa maana kunazaliwa
mitandao mipya na followers wapya. Je unajua list ya social networks bora 2016?.
1.Facebook2.Youtube
3.Reddit
4.Tweeter

5.Pinterest
6.Instagram
7.Tumblr
8.Linked In

9.Yahoo Answers
10.Yelp
Subscribe to:
Post Comments
(Atom)

0 comments:
Post a Comment