Kwa muda sasa radio, magazeti, tv , na mitandao imekuwa ni milango mikubwa inayofungua njia kwa tasinia ya michezo kupenyeza hadi kufikia wasikilizaji na watazamaji wengi .Hali inayosababishwa na upepo wa michezo unaovumishwa na wadau wa sekta hiyo. Wachezaji, wawekezaji na wadau wengine wa kandanda, kikapu, gofu, tenesi , mpira wa pete n.k, kwa asilimia zaidi ya 70 wameweza kufanya michezo ikawa moja ya kivutio kikubwa cha wageni halikadharika wenyeji katika nchi mbalimbali .Huku Siri ya kuwa kivutio cha aina hiyo ikibakia kuwa ni miundombinu bora na ya kisasa.Kwa kutazama kandanda, ambao ni mchezo unaoongoza kwa kupendwa na mashabiki wengi duniani, muundo wa viwanja vyake lazima ukufurahishe.Hasa ukiangalia michuano mikubwa ya mpira wa miguu kama vile kombe la dunia ,ligi kuu za mabara na mashindano mengi maarufu ya mchezo huo . Hivyo kitabu kwanza Blogspot ikapata muda wa kuandaa picha zinazoelezea hali halisi ya viwanja kadhaa nchini Tanzania. Huku swali la kujiuliza likiwa ni, je iwapo tutakuwa waandaji wa kombe la dunia, viwanja vyetu vinaweza kukidhi hadhi na viwango vinavyohitajika?.Tazama picha za viwanja vitano vya Tanzania
 |
| Kiwanja cha ccm kirumba,mwanza kwa juu |
.
 |
| Uwanja wa kirumba kwa pembeni |
 |
| ndani ya uwanja wa kirumba |
 |
| Kiwanja cha Maji maji Songea kwa juu |
 |
| Maji maji Songea |
 |
| uwanja wa maji maji kwa pembeni |
 |
| Ndani ya uwanja wamajimaji, songea |
 |
| Ndani ya uwanja wa maji maji songea |
 |
| Uwanja wa Nangwanda Mtwara kwa juu |
 |
| Uwanja wa Nyamagana, Mwanza |
 |
| Uwanja mpya Dar es salaam kwa juu |
 |
| Uwanja mpya na wa zamani ,Dar es salaam kwa juu |
 |
| uwanja mpya kwa pembeni |
 |
| uwanja mpya kwa pembeni |
 |
| Ndani ya uwanja mpya wa Dar es salaam |
0 comments:
Post a Comment