Wednesday, May 15, 2013
Ni baada ya chuo cha Stemmuco kufuatiwa na mfululizo wa matukio makubwa ya kimichezo,kama yale ya THE BIG SCORE ,INTER YEAR(CLASS)COMPETITION na mengine mengi,juma pili hii ya tarehe 11 mei 2013 inapambwa na tukio kubwa zaidi katika historia ya michezo Mtwara.Hili ni tukio pekee linalobeba uhusishaji wa vyuo na taasisi zaidi ya sita.Bandari,Utumishi,TCC,STEMMUCO,Jeshi nk.Tukio hili  limepewa jina maarufu kama  PRO LIFE.Katika fainali za Pro life Stemmuco na Utumishi wanafanikiwa kumenyana katika viwanja maarufu vya Mtwara,Nangwanda Stadium .Mpaka kipenga cha mwisho katika dakika ya 90 Utumishi wanaibuka kidedea zidi ya mahasimu wao  kwa gori 2-1.Na hizi ni picha  kumi na nne(14)za matukio mbalimbali yaliopata kujili katika viwanja hivyo.
1.
2.
3.
4.
Muamuzi akimzawadia kadi ya njano moja ya wachezaji kutoka Utumishi





5.
Hapa ni mashabiki  wa Stemmuco wakishangilia kwa shamlashamla zote na vuvuzela

6.

7.
Benchi la mashabiki timu ya  Utumishi

8.

9.

10.
 
moja ya wachezaji wa Utmishi akitoka njee ya uwanja baada ya maumivu ya mguu

11.

12.
Mashabiki wa Stemmuco kwa sauti na nguvu zote hawakuchoka kushangilia
13.
Utumishi pia hawakukaa kimya hata sekunde moja
14.
Dr Msafiri, mlezi na mwanzilishi wa mashindano haya akiwa pamoja na watangazaji



Monday, April 1, 2013


Wakati kosa ni moja yakifika mawili ni makosato.Hivyo kitendo cha kutotenda au kutofanya jambo kwa usahihi huku ukienda kinyume na utaratibu unaoendesha jambo hilo,kitazalisha dhana iitwayo kosa.Upande wa pili wa kosa huleta dhana nyingine iitwayo adhabu.Adhabu ni hatua ya kumwajibisha mtu kwa dhumuni la kujirudi na kufuata utaratibu unaoendesha jambo fulani alilokeuka mwanzo.Zifuatazo ni picha tisa(9) zikionyesha makosa na adhabu katika mashule
1.KOSA:Kulewa


2.KOSA:Kutazamia



3.KOSA:Kutazamia

4.KOSA:Kutazamia

5.ADHABU

6.ADHABU

7.ADHABU

8.ADHABU


 9.ADHABU




Sunday, February 17, 2013
Kwa mjibu wa kamusi ya uingereza maarufu kama Oxford dictionary,neno kujifunza ni mapokeo ya ujuzi au elimu baada ya uzoefu ama mafunzo  fulani.Hivyo ni bayana ya mambo tuonayo na kusikia mashuleni hadi majumbani mwetu.Na hizi ni kanuni tano(5) za kujifunza
1.Utayari

2.Mazoezi(exercise)

3.Hisia za kutafakari

4.Kukazia maarifa katika uhalisia
  
5.Marudio  
 
Tuesday, January 29, 2013



Fainali za big score,zilizofanyika mtwara chini ya chuo cha sauti(stemmuco) zilifika mwisho huku mwaka wa pili wakibuka kidedea zidi ya wapinzani wao wa jadi, mwaka wa tatu katika mpira wa miguu.Mwaka wa tatu walisimama magwiji wa chuo hasa pale walipo kuwa washindi katika michezo ya kikapu ,wavu na pete.Chini ni picha kumi na saba(17) za matukio mbali mbali yaliojiri ndani ya viwanja vya Nangwanda
                                              kikosi cha mwaka wa pili mpira wa miguu

                                          kikosi cha mwaka wa tatu mpira wa miguu


                                          kikosi cha mwaka wa pili mpira wa pete



                                           kikosi cha mwaka wa tatu mpira wa pete
                                          kikosi cha wahadhiri na wafanyakazi wa chuo

                                          Young Professor na mashabiki wa mwaka wa pili
                                         
                                          mashabiki wakifurahia ushindi
                                             class representative(cr) katika suti na washindi
                                                   young professor na timu iliyoshinda
                                             kelele,shangwe na vigelegele za mwaka wa pili
                                                      baadhi ya wachezaji toka mwaka wa tatu
                                           wachezaji kwa midadi wakisubiri kupokea kombe
                                          mashabiki wakishindwa kuficha hisia zao


                                                    na hili ndilo kombe lililongojwa
 
Monday, January 21, 2013
Wiki ya kwanza hadi ya tatu ya mwaka mpya 2013 ilikuwa nzuri ,hasa pale Kitabukwanzablogspot ilipopata fursa ya kutembelea baadhi ya kazi za sanaa zilizohusisha utengenezaji wa magari,ramani za mji,nchi,kuunda milima,jeograia ya mito nk.Hivyo kuibua ile dhana isemayo 'hakuna lishindikanalo chini ya jua'.Hapa chini ni baadhi ya hizo picha.
1.Mlima

2.Ramani ya nchi

3.Televisheni ya digitali

4.Jeografia ya mto

5.Miamba  iliyorika(rock pedestal)


6.Usafiri




7.Nyumba

8.feni

9.Leya za udongo  
10.Ramani ya mji

 

Popular Posts